Tunakuletea viwanja Arusha katika eneo la Mlangarini umbali wa mita chache kutoka katika barabara ya Arusha bypass (barara ya east Africa).
Viwanja vinauzwa kwa bei ya shilingi 22,000 kwa kila mita za Mraba na vingine Shilingi 26,000 kwa kila mita za mraba.
Viwanja vina ukubwa wa mita za mraba kuanzia mita 800 na kuendelea.
Eneo la mradi wa viwanja vya Arusha Mlangarini kuna miundombinu ya barabara, maji na umeme na kila kiwanja kina barabara.
Mteja anaruhisiwa kulipia kiwanja kwa awamu mbili tofauti ndani ya kipindi cha miezi sita.
Kwa manunuzi wasiliana nasi kupitia namba hii 0754 095 405
Karibu umiliki kiwanja chako sasa katika eneo la Mlangarini Arusha